Skip to main content
Mjumbe
Contact Info
Education

Bwana Koyi ana shahada ya Sayansi katika masuala ya Elektroniki kutoka Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam. Kwa sasa yeye ni Rais wa TCCIA na Mwenyekiti Mtendaji wa BN`N Group of Companies. Pia alikuwa mjumbe wa Kamati ya Baraza la Biashara Tanzania, Mkoa wa Dar es Salaam, Mshauri anayejitgemea wa kampuni ndogo ndogo na za kati, Mkufunzi na Mshauri wa Vijana. Bwana Koyi amesajiliwa na Bodi ya Wahandisi (ERB) kama mwanataaluma. Pia amesajiliwa na EEU kama mshauri wa Tehama kwa miradi ya kusini mwa Afrika.

Contact info

TCCIA Investment Company Limited [TICL] is a public limited liability company that was established by shareholders to expand financing sources to participate meaningfully in the ownership and control of the Tanzanian economy